Sipati picha vikishashonwa!.Fundi wangu ni mzuri sana ila yupoje bize sasa?!.Kiruu!nitachukua kimojawapo kati ya hivi nikikalie mwenyewe nishone maana ninajua,sema tu sijafanya hii kitu kwa muda mrefu kidogo.Nitakapomaliza nitawaonyesha nilivyoshona mwenyewe,kama si vyote lol!
Hivi hapa.Kwa kweli nimevipenda sana.Hakuna kukosea mashono.It has to be trendy & decent.Yeah,be classy.
No:2
No:3 #ANKARA
No:4 #AFRICAN PRINT
No:5
No:8
No:9
until next time.........keep the classy look...